Thursday, July 10, 2014

 11:25 AM         No comments
 
Athari za kimbunga kinachoitwa Neoguri.

Miti ikiwa imedondoka baada ya kutokea kimbunga hicho.
Wananchi wa visiwa vilivyo kusini mwa nchi hiyo wakati wa kimbunga hicho.
Serikali ya Japan imewashauri karibu watu nusu milioni kuhama makwao na kutafuta hifadhi kwengine wakati kimbunga kinachoitwa Neoguri kikipiga visiwa vilivyo kusini mwa nchi hiyo.

0 comments:

Post a Comment

CYBERCRIME LAW IN TANZANIA

CYBERCRIME LAW IN TANZANIA

Translate

RECENTLY POSTS

Total Pageviews

LIKE MY PAGE

TELL ME ABOUT BUSINESS

TELL ME ABOUT BUSINESS

My Blog List

what is crime?